Aunt Ezekiel kurejea kwenye movie Baada ya malezi - SHINE MUSIC TZ

Breaking

Sunday, 10 December 2017

Aunt Ezekiel kurejea kwenye movie Baada ya malezi


Msanii wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel amesema yupo tayari kurejea katika movie baada ya malezi ya mtoto wake.
Muigizaji huyo amesema sasa anajipanga kurejea ili kuweza kuja na kazi nzuri, huku akieleza anakosa vitu vingi anapokuwa nje ya location.
“Muda nadhani umeshafika nilisema after two years mwanangu atakuwa vizuri na nitaingia rasmi na kuanza kupambana, so sasa hivi ana two years and half ndio maana najipanga muda siyo mrefu nitakuwa poa” 

Aunt Ezekiel alikuwa anamlea mwanaye, Cookie aliyezaa na Mose Iyobo



No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages